BAO la dakika ya 51 la mshambuliaji wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah limetosha kuvunja rekodi ya JKT Tanzania ya ...
Baada ya video za mwanamuziki Mbosso kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwa hospitali amelazwa. Msanii huyo ...
LILIKUWA ni jambo la kuhuzunisha kama ilivyokuwa wazi mwanamume aliyeishi maisha yake yote akicheza mchezo alioupenda sasa ...
KOCHA wa Al-Hilal, Jorge Jesus amewaambia mabosi wa timu hiyo anahitaji huduma ya mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah ...
UMAHIRI wa Moussa Camara 'Spider' katika milingoti mitatu ya Simba, akiwa amebakisha clean sheet moja tu kwa sasa kuifikia ...
TIMU za Taifa za Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys na ile ya chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, kila moja ...
KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amepata pigo kubwa baada ya mshambuliaji wake Nicolas Jackson kupata majeraha makubwa yatakayomweka nje ya uwanja kwa muda mrefu tofauti na ilivyoripotiwa hapo awali.
NAHODHA wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemuonya kiungo wa Everton, Abdoulaye Doucoure, kwa kuanzisha ugomvi uwanjani wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu England, usiku wa jana Jumatano.
KUNA mechi nne za kuchezesha karata ngumu. Ni lkesho jioni majibu yote yatapatikana. Mjadala mkubwa zaidi ukiwa kwa Yanga na ...
HADI sasa bao bora katika Ligi Kuu msimu huu kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa kijiweni ni lile la Seleman Rashind ‘Bwenzi’ alilopachika dhidi ya Yanga.
TETESI ambazo hapa kijiweni tulikuwa tunaziona haziwezi kuwa kweli hatimaye zimetimia nazo ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na ...
ULE mchezo ambao Ladack Chasambi alijifunga bao ambalo lilikuwa la kusawazisha kwa Fountain Gate dhidi ya Simba ungeweza kuwa mwanzo wa maisha magumu kwa winga huyo mwenye umri wa miaka 20.